
Rais Samia Suluhu ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Prof. Tadeo Satta pamoja na Wajumbe sita wa Bodi hiyo ya TASAC, uteuzi wa Viongozi hao umetenguliwa kuanzia April 30.2021.

Rais Samia Suluhu ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Prof. Tadeo Satta pamoja na Wajumbe sita wa Bodi hiyo ya TASAC, uteuzi wa Viongozi hao umetenguliwa kuanzia April 30.2021.