Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo bungeni jana wakati akitoa ufafanuzi wa hoja za wabunge 63 waliochangia kwenye hotuba ya bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2021/2022.
Alisema wizara hiyo imepokea maoni ya wabunge na hakuna kipingamizi cha kuendesha mjadala kuhusu masuala ya elimu nchini.
“Pia suala la mitaala limezungumzwa na wabunge, wameomba kuwe na mjadala wa kujadili mitaala ili kuangalia namna gani tunakwenda, kwa hiyo tutaandaa utaratibu ili tufanye mjadala na hatimaye tutapata kile ambacho kikitekelezwa kitakwenda kuwafanya vijana wetu watoke wakiwa wameiva vizuri,“ alisema Profesa Ndalichako.https://googleads.g.doubleclick.net/pagead/ads?client=ca-pub-1883810847636355&output=html&h=250&slotname=8179441687&adk=369731748&adf=3826197755&pi=t.ma~as.8179441687&w=300&fwrn=7&lmt=1620362600&psa=1&format=300×250&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2F5f8fe0c721afa32b8c275293a9e1352d%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DHOME_PAGE_75d59b5f-6a4a-44cb-b563-061dbf91effa%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&flash=0&wgl=1&dt=1620362598433&bpp=70&bdt=3889&idt=1736&shv=r20210505&cbv=%2Fr20190131&ptt=9&saldr=aa&abxe=1&cookie=ID%3D7fc535a6bc1292ef-22758f60c5c70001%3AT%3D1620319191%3ART%3D1620319191%3AS%3DALNI_MZN1MUG1Q9fdb8FCWtW0TeABx4mhg&prev_fmts=0x0%2C300x250&nras=1&correlator=5594457910937&frm=20&pv=1&ga_vid=460988874.1620319159&ga_sid=1620362600&ga_hid=1859257383&ga_fc=0&u_tz=180&u_his=1&u_java=0&u_h=640&u_w=360&u_ah=640&u_aw=360&u_cd=24&u_nplug=0&u_nmime=0&adx=30&ady=1167&biw=360&bih=523&scr_x=0&scr_y=0&eid=42530672%2C44739524%2C31060474&oid=3&pvsid=1910359575873590&pem=184&eae=0&fc=1920&brdim=0%2C0%2C0%2C0%2C360%2C0%2C360%2C523%2C360%2C523&vis=1&rsz=%7C%7CoeEbr%7C&abl=CS&pfx=0&fu=0&bc=29&ifi=3&uci=a!3&btvi=1&xpc=PXwNz5EAWu&p=https%3A//stories.6chcdn.feednews.com&dtd=1781
Alisema serikali pia itaifanyia mapitio Sera ya Elimu ya Mwaka 2014 kwa kuwa yapo matamko kwenye sera hiyo ambayo hayajaanza kutekelezwa.
“Ndugu zangu elimu yetu ni nzuri japo ina changamoto za hapa na pale na haya ndiyo tunakwenda kuyarekebisha, lakini tusije tukajenga dhana kwamba eti elimu ya Tanzania haifai,“ alisema Profesa Ndalichako.Online Work From Home Jobs in the USA May Pay More Than You ThinkOnline Jobs | Search Adsby TaboolaSponsored Links
Alisema Sheria ya Elimu itapitiwa upya, lakini akasema wizara hiyo inahitaji muda ifanye kazi hiyo.
“Naomba wizara tupewe nafasi, suala la kupitia mfumo wa elimu ni suala linalohitaji utafiti, tuangalie washindani wetu, tuangalie mazingira yetu, tuangalie rasilimali zetu, kwa hiyo tusitegemee kwamba mwakani tutakuwa na mfumo mpya, ila niwahakikishie tu kwamba huu mjadala unaenda kuanza kabla ya Julai,” alisema Profesa Ndalichako na kuongeza:https://res.adx.opera.com/pagead/?w=328&h=0&pk=s3349331957248&ct=&uc=true&cc=US&lc=en&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2F5f8fe0c721afa32b8c275293a9e1352d%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DHOME_PAGE_75d59b5f-6a4a-44cb-b563-061dbf91effa%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&rf=&cst=UTF-8&title=TWZ1bW8gd2EgZWxpbXUgbmNoaW5pIGt1amFkaWxpd2Ega2FibGEgeWEgSnVsYWkgLSBPcGVyYSBOZXdzIE9mZmljaWFs&vr=stories.6chcdn.feednews.com&bl=en-US&sh=640&sw=360&sch=3920&scw=360&scl=0&sct=0&tz=GMT%2B0300&vph=523&vpw=360&debug=false
“Kazi ya kufanya mapitio tutaianza lakini naomba niwaandae kisaikolojia kwamba tunataka tuifanye kisawasawa, kwa sababu kama tumebadilisha Sera ya Elimu mwaka 2014, leo hii tunasema tubadilishe tena, tutakuwa nchi ambayo kila siku tunabadilisha mambo yetu, tuchukue muda.”
Alisema mwaka 1983 Marekani ilifanya mapitio ya sekta ya elimu kama Tanzania inavyotaka kufanya, lakini iliwachukua mwaka mmoja na nusu kufanya utafiti wa jambo hilo.https://res.adx.opera.com/pagead/?w=328&h=0&pk=s3480327769472&ct=&uc=true&cc=US&lc=en&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2F5f8fe0c721afa32b8c275293a9e1352d%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DHOME_PAGE_75d59b5f-6a4a-44cb-b563-061dbf91effa%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&rf=&cst=UTF-8&title=TWZ1bW8gd2EgZWxpbXUgbmNoaW5pIGt1amFkaWxpd2Ega2FibGEgeWEgSnVsYWkgLSBPcGVyYSBOZXdzIE9mZmljaWFs&vr=stories.6chcdn.feednews.com&bl=en-US&sh=640&sw=360&sch=3920&scw=360&scl=0&sct=0&tz=GMT%2B0300&vph=523&vpw=360&debug=false
“Kuna mapendekezo pia kuwa vyuo vya kati vinavyotoa shahada vijikite katika kutoa utaalamu katika fani ambazo vilianzishwa na kwa sababu mmetupa kazi ya kufanya mapitio na kuwa na mjadala, niwahakikishie katika kufanya mapitio suala hili tutalizingatia kuhakikisha kwamba tunapunguza vyuo ambavyo vinatoa shahada,” alisema Profesa Ndalichako.https://googleads.g.doubleclick.net/pagead/ads?client=ca-pub-1883810847636355&output=html&h=250&slotname=4256911181&adk=690765048&adf=422440509&pi=t.ma~as.4256911181&w=300&fwrn=7&lmt=1620362600&psa=1&format=300×250&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2F5f8fe0c721afa32b8c275293a9e1352d%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DHOME_PAGE_75d59b5f-6a4a-44cb-b563-061dbf91effa%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&flash=0&wgl=1&dt=1620362598503&bpp=13&bdt=3958&idt=1779&shv=r20210505&cbv=%2Fr20190131&ptt=9&saldr=aa&abxe=1&cookie=ID%3D7fc535a6bc1292ef-22758f60c5c70001%3AT%3D1620319191%3ART%3D1620319191%3AS%3DALNI_MZN1MUG1Q9fdb8FCWtW0TeABx4mhg&prev_fmts=0x0%2C300x250%2C300x250&nras=1&correlator=5594457910937&frm=20&pv=1&ga_vid=460988874.1620319159&ga_sid=1620362600&ga_hid=1859257383&ga_fc=0&u_tz=180&u_his=1&u_java=0&u_h=640&u_w=360&u_ah=640&u_aw=360&u_cd=24&u_nplug=0&u_nmime=0&adx=30&ady=2732&biw=360&bih=523&scr_x=0&scr_y=0&eid=42530672%2C44739524%2C31060474&oid=3&pvsid=1910359575873590&pem=184&eae=0&fc=1920&brdim=0%2C0%2C0%2C0%2C360%2C0%2C360%2C523%2C360%2C523&vis=1&rsz=%7C%7CoeEbr%7C&abl=CS&pfx=0&fu=0&bc=29&ifi=4&uci=a!4&btvi=2&xpc=OSCwOelXU8&p=https%3A//stories.6chcdn.feednews.com&dtd=1823
Alisema mambo mengine ambayo wizara hiyo imeanza kuyafanyia kazi ni kuimarisha elimu ya ufundi kwa kuboresha mafunzo kwa vitendo kwenye shule za ufundi.
Profesa Ndalichako alisema mafunzo kwa vitendo katika vyuo vya Veta yataimarishwa kwa kuwapeleka wanafunzi viwandani na kwenye kampuni ili kukuza ujuzi.
Alizitaka taasisi za elimu zizingatie mafunzo kwa vitendo na akawataka makamu wakuu wa vyuo wajitafakari na wahakikishe mafunzo kwa vitendo yanaanza mara moja.