Ratiba mpya ya ligi Kuu ya vijana Tanzania U20 ,imetolewa ambapo Ruvushooting vs Yanga
Mbeya city vs Simba
Coastal union vs young African
Mtibwa sugar vs KMC
Prisons vs Ihefu fc
Ratiba iyo itaanza tarehe 09/05/2021 na mechi ya mwisho itachezwa tarehe 11/05/2021
