Maiti yasafirishwa Kwenye Kiroba

Sunday April 11 2021
maiti pc

Moshi/Rombo. Ukweli ni upi, hili ndio swali kuu baada ya familia ya kijana Setas Tarimo (36) kudai mwili wake ulisafirishwa ukiwa katika mfuko wa sandarusi maarufu kama `kiroba’, lakini waliomsafirisha wakipinga vikali madai hayo.https://googleads.g.doubleclick.net/pagead/ads?client=ca-pub-1883810847636355&output=html&h=250&slotname=6310719999&adk=2325624191&adf=1214513578&pi=t.ma~as.6310719999&w=300&fwrn=7&lmt=1620604105&psa=1&format=300×250&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2F920221ee2cd94cf33763cbc21821407c%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DNEWS_BAR_02452fd7-80cf-43cb-9cae-a969590e56ad%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&flash=0&wgl=1&dt=1620604104415&bpp=86&bdt=9461&idt=1276&shv=r20210505&cbv=%2Fr20190131&ptt=9&saldr=aa&abxe=1&cookie=ID%3D7fc535a6bc1292ef-22758f60c5c70001%3AT%3D1620319191%3ART%3D1620319191%3AS%3DALNI_MZN1MUG1Q9fdb8FCWtW0TeABx4mhg&prev_fmts=0x0&nras=1&correlator=683232374617&frm=20&pv=1&ga_vid=460988874.1620319159&ga_sid=1620604106&ga_hid=760468819&ga_fc=0&u_tz=180&u_his=1&u_java=0&u_h=640&u_w=360&u_ah=640&u_aw=360&u_cd=24&u_nplug=0&u_nmime=0&adx=30&ady=489&biw=360&bih=523&scr_x=0&scr_y=0&eid=44739521%2C31060031%2C44739538%2C31060474&oid=3&pvsid=1163452613665405&pem=184&eae=0&fc=1920&brdim=0%2C0%2C0%2C0%2C360%2C0%2C360%2C523%2C360%2C523&vis=1&rsz=%7C%7CoeE%7C&abl=CS&pfx=0&fu=0&bc=29&ifi=2&uci=a!2&xpc=TDU1pv67y7&p=https%3A//stories.6chcdn.feednews.com&dtd=1403

Mbali na madai hayo, ndugu wanadai mwili wa kijana huyo aliyefariki dunia Aprili 4 mwaka huu, ulisafirishwa kwa usafiri wa basi dogo aina ya Hiace maarufu kama daladala kutoka Mbweni mkoani Pwani hadi kijiji cha Lessoroma kilichopo wilaya ya Rombo.

Hata hivyo, mmoja wa watu waliosafirisha mwili huo kutoka Pwani, Mohamed Omary amepinga madai hayo akisema waliusitiri kwa kuufunga na mashuka meupe masafi na kuufunga kwenye mkeka kama maiti nyingine zinavyosafirishwa kwa heshima.

Mohamed alisema wakati alipoanza kuumwa malaria na baadae ugonjwa kama wa kifafa, walimpigia simu mama yake ambaye aliwaambia hali kama hiyo ilikuwa ikimtokea pia huko Rombo, lakini walikuwa wakimpeleka kwenye maombi.https://googleads.g.doubleclick.net/pagead/ads?client=ca-pub-1883810847636355&output=html&h=250&slotname=8179441687&adk=2696039139&adf=3252492002&pi=t.ma~as.8179441687&w=300&fwrn=7&lmt=1620604105&psa=1&format=300×250&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2F920221ee2cd94cf33763cbc21821407c%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DNEWS_BAR_02452fd7-80cf-43cb-9cae-a969590e56ad%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&flash=0&wgl=1&dt=1620604104502&bpp=35&bdt=9547&idt=1390&shv=r20210505&cbv=%2Fr20190131&ptt=9&saldr=aa&abxe=1&cookie=ID%3D7fc535a6bc1292ef-22758f60c5c70001%3AT%3D1620319191%3ART%3D1620319191%3AS%3DALNI_MZN1MUG1Q9fdb8FCWtW0TeABx4mhg&prev_fmts=0x0%2C300x250&nras=1&correlator=683232374617&frm=20&pv=1&ga_vid=460988874.1620319159&ga_sid=1620604106&ga_hid=760468819&ga_fc=0&u_tz=180&u_his=1&u_java=0&u_h=640&u_w=360&u_ah=640&u_aw=360&u_cd=24&u_nplug=0&u_nmime=0&adx=30&ady=1292&biw=360&bih=523&scr_x=0&scr_y=0&eid=44739521%2C31060031%2C44739538%2C31060474&oid=3&pvsid=1163452613665405&pem=184&eae=0&fc=1920&brdim=0%2C0%2C0%2C0%2C360%2C0%2C360%2C523%2C360%2C523&vis=1&rsz=%7C%7CoeEbr%7C&abl=CS&pfx=0&fu=0&bc=29&ifi=3&uci=a!3&btvi=1&xpc=6Tmdxai7LO&p=https%3A//stories.6chcdn.feednews.com&dtd=1456

“Hakufia hospitali bali alifia nyumbani kwa hiyo tukawasiliana na tajiri yake ambaye alituma Sh200,000 za mafuta lakini usafiri tulikubaliana na ndugu mmoja anaitwa Tarimo kuwa tukifika wangelipia hilo gari,” alieleza Mohamed.


Kwa upande wake, Kamanda wa polisi Mkoa wa Klimanjaro, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Amon Kakwale alithibitisha suala hilo kupelekwa kituo cha polisi Usseri lakini alieleza lilikuwa suala la madai.

Kwa habari kamili usikose kujipatia gazeti la Mwananchi kesho.https://googleads.g.doubleclick.net/pagead/ads?client=ca-pub-1883810847636355&output=html&h=375&slotname=7825531549&adk=3882026931&adf=3778546804&pi=t.ma~as.7825531549&w=360&lmt=1620604106&rafmt=11&psa=1&format=360×375&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2F920221ee2cd94cf33763cbc21821407c%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DNEWS_BAR_02452fd7-80cf-43cb-9cae-a969590e56ad%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&flash=0&fwr=1&wgl=1&dt=1620604104538&bpp=43&bdt=9584&idt=1649&shv=r20210505&cbv=%2Fr20190131&ptt=9&saldr=aa&abxe=1&cookie=ID%3D7fc535a6bc1292ef-22758f60c5c70001%3AT%3D1620319191%3ART%3D1620319191%3AS%3DALNI_MZN1MUG1Q9fdb8FCWtW0TeABx4mhg&prev_fmts=0x0%2C300x250%2C300x250&nras=1&correlator=683232374617&frm=20&pv=1&ga_vid=460988874.1620319159&ga_sid=1620604106&ga_hid=760468819&ga_fc=0&rplot=4&u_tz=180&u_his=1&u_java=0&u_h=640&u_w=360&u_ah=640&u_aw=360&u_cd=24&u_nplug=0&u_nmime=0&adx=0&ady=1975&biw=360&bih=523&scr_x=0&scr_y=0&eid=44739521%2C31060031%2C44739538%2C31060474&oid=3&pvsid=1163452613665405&pem=184&eae=0&fc=1920&brdim=0%2C0%2C0%2C0%2C360%2C0%2C360%2C523%2C360%2C523&vis=1&rsz=%7C%7CeEbr%7C&abl=CS&pfx=0&fu=128&bc=29&ifi=4&uci=a!4&btvi=2&xpc=iN7HdRAlkl&p=https%3A//stories.6chcdn.feednews.com&dtd=1735

Breaking Newz Serikali Yatangaza Ajira za Afya na Walimu Fanya maombi sasa…

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu, ametangaza nafasi za ajira kwa walimu 6,949 wa shule za Msingi na Sekondari pamoja na ajira 2,726 kwa kada mbalimbali za Afya.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu

Amesema ajira hizo ni utekelezaji wa agizo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,  la kuajiri wafanyakazi zaidi ya elfu sita.https://googleads.g.doubleclick.net/pagead/ads?client=ca-pub-1883810847636355&output=html&h=250&slotname=6310719999&adk=3451024743&adf=1679816669&pi=t.ma~as.6310719999&w=300&fwrn=7&lmt=1620567114&psa=1&format=300×250&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2Feb3d6b6078d9c38c7c2398ce1d8f75b5%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DNEWS_BAR_2267b31a-34c4-4905-9ea3-96ff8f06d75d%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&flash=0&wgl=1&dt=1620567114184&bpp=34&bdt=26581&idt=472&shv=r20210505&cbv=%2Fr20190131&ptt=9&saldr=aa&abxe=1&cookie=ID%3D7fc535a6bc1292ef-22758f60c5c70001%3AT%3D1620319191%3ART%3D1620319191%3AS%3DALNI_MZN1MUG1Q9fdb8FCWtW0TeABx4mhg&prev_fmts=0x0&nras=1&correlator=4248703328717&frm=20&pv=1&ga_vid=460988874.1620319159&ga_sid=1620567115&ga_hid=655146983&ga_fc=0&u_tz=180&u_his=1&u_java=0&u_h=640&u_w=360&u_ah=640&u_aw=360&u_cd=24&u_nplug=0&u_nmime=0&adx=30&ady=628&biw=360&bih=523&scr_x=0&scr_y=133&eid=42530671%2C44739524%2C44741878%2C31060474%2C31060840&oid=3&pvsid=1916308506034780&pem=184&eae=0&fc=1920&brdim=0%2C0%2C0%2C0%2C360%2C0%2C360%2C523%2C360%2C523&vis=1&rsz=%7C%7CoeE%7C&abl=CS&pfx=0&fu=0&bc=29&ifi=2&uci=a!2&xpc=CR3Bkkdf0n&p=https%3A//stories.6chcdn.feednews.com&dtd=524

Akizungumza Jijini Dodoma leo Mhe.Ummy amesema ajira hizo zinakwenda kuziba mapengo ya wafanyakazi waliostaafu, waliofariki na wengine kuacha kazi hivyo ajira hizo ni za watanzania na kwa wale watakaokidhi vigezo watapatiwa ajira kwa haraka ili kutoa huduma bora kwa wananchi.

Ameongeza kuwa ajira zitatolewa kwa haki na waombaji wasitoe fedha yeyote ili kupata ajira kwakuwa baadhi ya watu wanaweza kutumia vibaya fursa hiyo.

Watu wenye sifa wanatakiwa kuomba kuanzia leo Mei 9 hadi 23, 2021.
 https://googleads.g.doubleclick.net/pagead/ads?client=ca-pub-1883810847636355&output=html&h=375&slotname=7825531549&adk=3882026931&adf=461091818&pi=t.ma~as.7825531549&w=360&lmt=1620567114&rafmt=11&psa=1&format=360×375&url=https%3A%2F%2Fstories.6chcdn.feednews.com%2Fnews%2Fdetail%2Feb3d6b6078d9c38c7c2398ce1d8f75b5%3Fac%3D3g%26app_version%3D8.6.2254.56868%26client%3Dnews%26country%3Dtz%26features%3D35183784886029%26lang%3Dsw%26language%3Dsw%26low_perf%3Dtrue%26mode%3Dbody%26picture_less%3Ddisabled%26request_id%3DNEWS_BAR_2267b31a-34c4-4905-9ea3-96ff8f06d75d%26swdp%3D360%26uid%3D5474b3b8f249df4eb9f94c3f468aeb2105058822&flash=0&fwr=1&wgl=1&dt=1620567114220&bpp=40&bdt=26618&idt=563&shv=r20210505&cbv=%2Fr20190131&ptt=9&saldr=aa&abxe=1&cookie=ID%3D7fc535a6bc1292ef-22758f60c5c70001%3AT%3D1620319191%3ART%3D1620319191%3AS%3DALNI_MZN1MUG1Q9fdb8FCWtW0TeABx4mhg&prev_fmts=0x0%2C300x250&nras=1&correlator=4248703328717&frm=20&pv=1&ga_vid=460988874.1620319159&ga_sid=1620567115&ga_hid=655146983&ga_fc=0&rplot=4&u_tz=180&u_his=1&u_java=0&u_h=640&u_w=360&u_ah=640&u_aw=360&u_cd=24&u_nplug=0&u_nmime=0&adx=0&ady=1311&biw=360&bih=523&scr_x=0&scr_y=133&eid=42530671%2C44739524%2C44741878%2C31060474%2C31060840&oid=3&pvsid=1916308506034780&pem=184&eae=0&fc=1920&brdim=0%2C0%2C0%2C0%2C360%2C0%2C360%2C523%2C360%2C523&vis=1&rsz=%7C%7CeEbr%7C&abl=CS&pfx=0&fu=128&bc=29&ifi=3&uci=a!3&btvi=1&xpc=ZgiR1ycn43&p=https%3A//stories.6chcdn.feednews.com&dtd=602

Watoto Waokota Bomu

Wananchi wa Vijiji vya Nyiboko, Borenga, Machanchari na Maremboto vilivyopo Kata ya Kisaka wilayani Serengeti wameliomba Jeshi la Wananchi (JWTZ) kukagua na kuondoa mabomu yaliosalia maeneo ya makazi baada ya Watoto kuokota bomu ambalo halijalipuka mara baada ya kuhitimisha mafunzo ya kivita.

Akizungumza kwenye mkutano uliowakutanisha Wananchi, Viongozi wa Serikali ya Vijiji vinne, Kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja na Viongozi wa JWTZ , Mzazi mmoja amesema Jeshi limekuwa likitumia eneo hilo kufanyia mazoezi, ambapo aliwaona Watoto wake wameshika bomu wakichezea na yeye akalichukua na kulitupa porini.

Mkuu wa Kikosi cha Makoko Kanali Samson Mshasha amesema ni kweli bomu hilo lilisahaulika ila amewaomba Wananchi wahame ili kujiweka salama, kwani 1996 Wananchi walikubali kutoa eneo kwa matumizi ya Jeshi ila kwa sasa wameanza kujenga nyumba (kutegesha) ili walipwe fidia kinyume na taratibu kwani kuna vifaa na silaha huwa zinabaki kwa bahati mbaya wakati wa mazoezi, pia amewataka Wananchi kutoa taarifa waonapo silaha na vifaa vingine vya kijeshi.

DC wa Serengeti Nurdin Babu, amesema kila Mwananchi aheshimu mipaka ya eneo la Jeshi na kuwataka waliokutwa na Jeshi wajitokeze watambulike ili utaratibu wa kuwalipa ufanyike ila waliotegesha nyumba ili walipwe hawatalipwa kwani ramani ipo na inaonesha vizuri.

Ratiba ya ligi Kuu soka Tanzania Bara U20

Ratiba mpya ya ligi Kuu ya vijana Tanzania U20 ,imetolewa ambapo Ruvushooting vs Yanga

Mbeya city vs Simba

Coastal union vs young African

Mtibwa sugar vs KMC

Prisons vs Ihefu fc

Ratiba iyo itaanza tarehe 09/05/2021 na mechi ya mwisho itachezwa tarehe 11/05/2021

TFF yaomba Radhi Kwa Mashabiki Wa Soka

Chama cha soka Tanzania TFF imewaomba radhi Mashabiki wapenda soka Tanzania ,kwa tukio lililojitokeza apo jaka katika uwanja wa Benjamini Mkapa.

Katika waraka wake TFF uliopo katika kurasa zao za Instagram ,wamesema Wameiomba bodi ya ligi Kutoa Maelezo ya kina kuhusu sababu ya mechi hiyo kuahirishwa.

Aidha imesema itafanya kikao cha dhalula na viongozi wa klabu zote mbili ,ili kupata mustakabari wa swala hilo.

Pia TFF imesema wanashirikiana karibu na wizara ili kuona wanafikia muhafaka wa jambo hilo haraka iwezekanavyo na kuwataka mashabiki wa soka Tanzania kuwa na utulivu katika kipindi hiki.