
Sobolev A. 21’⚽ ,Kutepov I. 45’⚽(OG) ,Larson J. 77’⚽

Sobolev A. 21’⚽ ,Kutepov I. 45’⚽(OG) ,Larson J. 77’⚽

Williams I. 90’⚽

Ruidiaz R. 20′ & 90+4 ⚽⚽ ,Smith B. 23′ ⚽

Rubio D. 26′ ⚽

Craig P. 6′ ⚽ ,Ackuei 7′ ⚽ (OG) ,Amoustapha K. 82′ ⚽

Wood Ch. 19’⚽ (P) ,Antonio M. 21′ & 29′ ⚽⚽

Silva F. 45+2′ ⚽ ,Diagne M. 62′ ⚽

The 3rd ranking highest man with more Money in the world has confirmed on twitter that ,he breakup with his wife after 27 years ,the problem behind has not known clear but we still finding ……

Ndoa ya Tajiri wa Dunia Bill Gates na Belinda iliyodumu kwa miaka 27 na kupata Watoto watatu imetangazwa kufika mwisho na sasa kila mmoja anaanza maisha mapya baada ya kuachana.
Taarifa iliyotolewa leo imesema wawili hao wamefikia maamuzi ya kuvunja ndoa hiyo lakini wataendelea kushirikiana kwenye kazi zinazohusu foundation yao ambayo imekua ikitoa misaada kwa Nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania.
Ndani ya miaka mitatu hii inakua ndoa ya Tajiri mwingine wa dunia kuvunjika ambapo talaka ya Tajiri Jeff Bezos ilitangazwa April 2019 wakiwa wamedumu kwa miaka 25 kwenye ndoa na kupata Watoto wanne.
Unahisi nini kinaweza kuwa tatizo mpaka ndoa kuvunjika kwa Watu Matajiri kama hawa? 🤔🤔

Bill and Melinda Gates are ending their marriage after 27 years, the pair announced in a statement on their verified Twitter accounts.
“After a great deal of thought and a lot of work on our relationship, we have made the decision to end our marriage,” the statement reads.
The couple founded their philanthropic organization, the Bill and Melinda Gates Foundation, in 2000.
“We have raised three incredible children and built a foundation that works all over the world to enable all people to lead healthy, productive lives,” the statement says. “We continue to share a belief in that mission and will continue our work together at the foundation, but we no longer believe we can growth together as a couple in this next phase of our lives.”
The foundation did not immediately return a request for comment from CNN Business.

This story will be updated.