
Club ya Liverpool ya nchini uingereza inajiandaa kutoa donge nono kwa winga wa borussia dotmund Jordan sancho ,pia club za barcelona na Juventus zimehusishwa kuitaji huduma ya mshambuliaji huyo.

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya livepool xherdan xhaqiri amemuambia meneja wake kuwa anahitaji kuondoka kunako klabu ya liverpool mara tu baada ya msimu huu kumalizika ,japo kuwa haijawekwa wazi kuwa ni wapi atatimkia.
Good luck
LikeLike