
A photo of a Rapper from USA Lil wyne goes viral which shows him appeared on a photo with new looking.

Lil wyne and DJ khaled meet to prepare an event which is already finished and waiting to be released very soon.


A photo of a Rapper from USA Lil wyne goes viral which shows him appeared on a photo with new looking.

Lil wyne and DJ khaled meet to prepare an event which is already finished and waiting to be released very soon.


@fenerbahce V/s @erzuhumspor


VPL imefika raundi ya 28. Kimahesabu bado raundi 6 tu pazia la Ligi kuu Tanzania Bara lifungwe.
Kuna mbio za Ubingwa. Wengi wanasubiri kwa hamu.
Kuna vita ya kuepuka kushuka daraja. Mpaka sasa anayeshika nafasi ya 10, Coasta Union bado hana uhakika wa kubaki Ligi Kuu msimu ujao.
Macho ya wengi pia yameanza kunogewa na vita ya Ufungaji bora.
Ni Kagere tena? Au Bocco? Vipi kuhusu Prince Dube? Bado ni ngumu kutabiri kiatu cha Top Scores kitakwenda kwa nani.
Wakati utamu wa Ligi ukizidi kukolea, iko vita kali ambayo wengi hawaitazami sana. Unaijua ni ipi hiyo?
Hii ni vita ya KIPA BORA WA MSIMU. Mchuano ni mkali kweli kweli
Hii hapa ni orodha ya magolikipa ambao timu zao ziko TOP 5 ya VPL mpaka sasa.
1: Manula (Simba) : Saves 20, Clean Sheet 14
2: Metacha (Yanga): Saves 18, Clean Sheet 11
3: Kigonya ( Azam): Saves 6, Clean Sheet 5
4: Mgore (Biashara): Saves 25, Clean Sheet 10
5: Kaseja (KMC): Saves 10, Clean Sheet 10
Mambo ni 🔥… Kwa mtazamo wako, ni golikipa gani atamaliza akiwa kinara msimu huu?

UDHIBITI WA CORONA, SERIKALI YATAJA MASHARTI YA KUFUATWA: Serikali imeamua kuimarisha udhibiti wa maambukizo ya virusi vya corona nchini hususan kwa wasafiri wa kimataifa kuanzia Mei 4 kwa kuzingatia mambo kadhaa ikiwemo kuzitaka mamlaka zote katika vituo vya kuingia nchini zinazingatia hatua za kujikinga na maambukizo ya virusi vya corona kwa wasafiri na wafanyakazi wa maeneo hayo kwa kuosha mikono kwa kutumia sabuni na maji tiririka, kutumia vitakatishi mikono, kukaa kwa umbali unaoshauriwa na kuvaa barakoa.

Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Profesa Abel Makubi wasafiri watatakiwa kujaza kwa uaminifu fomu iliyopo mtandaoni kuonyesha hali ya afya ya msafiri katika muda wa saa 24 kabla ya kuingia Tanzania na kuwataka wasafiri wote wageni na wakazi wanaorejea nchini kuwasilisha cheti kinachoonyesha kutokuwa na maambukizo ya ugonjwa wa COVID-19 na kipimo hicho kiwe katika mfumo wa RT-PCR kwa kutumia sampuli zilizochukuliwa ndani ya saa 72 kabla kuingia Tanzania.

Pia wasafiri wageni na wakazi wanapoondoka Tanzania watalazimika kupima maambukizo ya virusi vya corona ikiwa ni pamoja na kutumia kipimo cha haraka kwa wanaowasili nchini kutokea katika maeneo yenye maambukizo makubwa wakitozwa dola 25 kwa kila msafiri anayepata huduma hiyo.
Na kwa wasafiri wanaotoka katika nchi zenye Virusi vipya vya Corona kwa kuzingatia taarifa inayotolewa kila siku na Shirika la Afya Duniani(WHO) au kwa wale waliosafiri katika nchi hizo ndani ya siku 14 zilizopita kabla ya safari zao watapimwa kipimo cha haraka katika kituo cha kuingilia nchini na kulazimika kukaa karantini kwa siku 14 kwa gharama zao.

Na kwa upande wa malori na magari yanayovuka mipaka yatalazimika kuwa na watu wawili mpaka watatu ili kurahisisha utaratibu wa kuvuka mipaka.
Profesa Makubi amesema taarifa ya ushauri kwa wasafiri itapitiwa mara kwa mara kadiri inavyohitajika.

Real madrid confimed ,Raphael varane will miss the last quater final match against chelsea on london,england.









1 – Ayoub KaabiWyd 7
2 – Ben MalangoRaj 7
3 – Axel MeyeItt 6
4 – Youssef El FahliHas 6
5 – Salaheddine BenyachouOly 6
6 – Simon MsuwaWyd 5

Rais Samia Suluhu ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Prof. Tadeo Satta pamoja na Wajumbe sita wa Bodi hiyo ya TASAC, uteuzi wa Viongozi hao umetenguliwa kuanzia April 30.2021.

Rais Samia Suluhu ametengeua uteuzi wa Posta Masta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Hassan Mwang’ombe, pia ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania Dkt. Harun Kondo na amevunja Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo.