NDOA YA TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI BILL GATES YAVUNJIKA

Ndoa ya Tajiri wa Dunia Bill Gates na Belinda iliyodumu kwa miaka 27 na kupata Watoto watatu imetangazwa kufika mwisho na sasa kila mmoja anaanza maisha mapya baada ya kuachana.

Taarifa iliyotolewa leo imesema wawili hao wamefikia maamuzi ya kuvunja ndoa hiyo lakini wataendelea kushirikiana kwenye kazi zinazohusu foundation yao ambayo imekua ikitoa misaada kwa Nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania.

Ndani ya miaka mitatu hii inakua ndoa ya Tajiri mwingine wa dunia kuvunjika ambapo talaka ya Tajiri Jeff Bezos ilitangazwa April 2019 wakiwa wamedumu kwa miaka 25 kwenye ndoa na kupata Watoto wanne.

Unahisi nini kinaweza kuwa tatizo mpaka ndoa kuvunjika kwa Watu Matajiri kama hawa? 🤔🤔

Tuzo VPL Manula & Metacha ,Kagere,Bocco & Dube ,Mbivu na Mbichi

VPL imefika raundi ya 28. Kimahesabu bado raundi 6 tu pazia la Ligi kuu Tanzania Bara lifungwe.

Kuna mbio za Ubingwa. Wengi wanasubiri kwa hamu. 

Kuna vita ya kuepuka kushuka daraja. Mpaka sasa anayeshika nafasi ya 10, Coasta Union bado hana uhakika wa kubaki Ligi Kuu msimu ujao.

Macho ya wengi pia yameanza kunogewa na vita ya Ufungaji bora. 

Ni Kagere tena? Au Bocco? Vipi kuhusu Prince Dube? Bado ni ngumu kutabiri kiatu cha Top Scores kitakwenda kwa nani.

Wakati utamu wa Ligi ukizidi kukolea, iko vita kali ambayo wengi hawaitazami sana. Unaijua ni ipi hiyo?

Hii ni vita ya KIPA BORA WA MSIMU. Mchuano ni mkali kweli kweli

Hii hapa ni orodha ya magolikipa ambao timu zao ziko TOP 5 ya VPL mpaka sasa.

1: Manula (Simba) : Saves 20, Clean Sheet 14

2: Metacha (Yanga): Saves 18, Clean Sheet 11

3: Kigonya ( Azam): Saves 6, Clean Sheet 5

4: Mgore (Biashara): Saves 25, Clean Sheet 10

5: Kaseja (KMC): Saves 10, Clean Sheet 10

Mambo ni 🔥… Kwa mtazamo wako, ni golikipa gani atamaliza akiwa kinara msimu huu?

WAJUMBE 6 WATENGULIWA

Rais Samia Suluhu ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Prof. Tadeo Satta pamoja na Wajumbe sita wa Bodi hiyo ya TASAC, uteuzi wa Viongozi hao umetenguliwa kuanzia April 30.2021.

POSTA MASTER ATENGULIWA

Rais Samia Suluhu ametengeua uteuzi wa Posta Masta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Hassan Mwang’ombe, pia ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania Dkt. Harun Kondo na amevunja Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo.

Klopp Powerful Man carra says

Carra: “If Klopp left, Liverpool fans would have those owners out within a week. They would tear that stadium down. Those owners will not know what has hit them if Klopp leaves. That man is the most powerful man at Liverpool Football Club.”

Konate To Liverpool

Updates

Ibrahima Konate

 🚨: Ibrahima Konate’s buyout clause at RB Leipzig is higher than first thought and it could cost £40million to take him to Liverpool this summer.
(Mike McGrath, Telegraph)

Thanks to @jayllewellyn_ for this edit 💪

Haaland to Liverpool

Updates

Haaland

Mino Raiola has revealed the two key factors that his client Erling Haaland will choose his next club based on.
“He will land there,” he told Sky90 when asked about Liverpool as a possible destination for his former striker.
“He can play for any club in the world. With his mentality, his will and self confidence, he will be able to make a mark on European football in the next ten years.”
Raiola has reiterated the striker’s plans for the future and revealed any move will be determined by his chances of scoring goals and winning trophies.
“Haaland is interested in two things: scoring goals – because he is like a Cristiano or a Zlatan, he has that positive obsession – and winning titles,” the super agent told AS.
“He will choose, surely, where those two things together happen more. It is very difficult to lie.
When a club like Barcelona or Madrid arrives, with so much history and so great, it is difficult to say no.
PSG is entering this group of greats, City is trying to get there, Juve has always been there.
The championship they play also matters. PSG plays the worst league of the greats. Bayern are already in an attractive league, but we know that they always win it. In Spain there are three with options.”